×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanasayansi katika idara ya hali ya anga waonya kuwa wakati haujafika wa mkulima kupanda mimea yake

18th February, 2021

Huenda kama mkulima ukadhania ni wakati wa kupanda mimea yako lakini wanasayansi katika idara ya hali ya anga nchini wanaonya kuwa wakati haujafika. hii ni kutokana na mabadiliko katika hali ya hewa mwezi januari na februari jambo ambalo hatimae linachangia katika kiwango cha chakula nchini.

.
RELATED VIDEOS