.
18th February, 2021
Huenda kama mkulima ukadhania ni wakati wa kupanda mimea yako lakini wanasayansi katika idara ya hali ya anga nchini wanaonya kuwa wakati haujafika. hii ni kutokana na mabadiliko katika hali ya hewa mwezi januari na februari jambo ambalo hatimae linachangia katika kiwango cha chakula nchini.