18th February, 2021
Maandamano yameshuhudiwa huko lari kiambu kufuatia kifo cha mwanafunzi mmoja wa darasa la sita mwenye umri wa miaka kumi na miwili kuaga dunia akipokea matibabu katika hospitali kuu ya kenyatta.imedaiwa kwamba mwanafunzi huyo mary wambui aliadhibiwa na mwalimu kupelekea maumivu na kifo chake. ni kisa ambacho kimedhibitishwa na kamanda wa polisi katika eneo la lari steve kituo, huku akisema uchunguzi bado unaendelea