18th February, 2021
Rais uhuru kenyatta katika ikulu ya Nairobi amekuwa na mkutano mkutano na baraza lake la mawaziri pamoja na katibu wa wizara na makatibu waandamizi kujadili namna ya kutekeleza ajenda nne kuu za jubilee pamoja na kuwa viongozi serikali walihudhuria hafla hiyo naibu rais ambaye kisheria ndiye msaidizi mkuu wa rais kenyatta hakuhudhuria hafla hiyo wala haijatolewa sababu ya kufanya hivyo kufikia wakati huu.