×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mtaala wa CBC: walimu, wanafunzi na wazazi watahitajika kushirikiana pakubwa kufanikisha mtaala huo

11th February, 2021

Mfumo mpya wa elimu unakusudia kubadilisha kabisa masomo nchini kenya. Kwa mujibu wa ripoti ya jopokazi la utekelezaji wa mtaala mpya wa masomo, CBC, mitihani haitatumika tena katika kuwatathmini wanafunzi katika kutoa mwelekeo wa taaluma na elimu ya mtoto. Hata hivyo walimu, wanafunzi na wazazi watahitajika kushirikiana pakubwa.

.
RELATED VIDEOS