×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Urithi wa Maraga: Tawasifu za wanaotaka kumrithi David maraga kama jaji wa mahakama ya juu zaidI

11th February, 2021

Tume ya JSC imechapisha majina ya watu 13 walioomba kazi ya jaji mkuu na wengine 9 walioomba kazi ya jaji wa mahakama ya juu zaidi. wanaomezea mate nafasi ya jaji mkuu wamewahi kuhudumu katika nafasi nyinginezo, japo cha kushangaza kuwa ni wakati huu, hamna jaji yeyote wa mahakama ya juu zaidi aliyeomba kazi ya jaji mkuu. mwanahabari george maringa anaangazia tawasifu za wanaotaka kumrithi david maraga.

.
RELATED VIDEOS