11th February, 2021
Tume ya JSC imechapisha majina ya watu 13 walioomba kazi ya jaji mkuu na wengine 9 walioomba kazi ya jaji wa mahakama ya juu zaidi. wanaomezea mate nafasi ya jaji mkuu wamewahi kuhudumu katika nafasi nyinginezo, japo cha kushangaza kuwa ni wakati huu, hamna jaji yeyote wa mahakama ya juu zaidi aliyeomba kazi ya jaji mkuu. mwanahabari george maringa anaangazia tawasifu za wanaotaka kumrithi david maraga.