.
4th February, 2021
Mwaka mmoja sasa, baada ya mazishi ya hayati Rais Daniel Moi, taifa lilishuhudia mbunge wa Rongai Raymond moi akimkabithi kakake mdogo seneta wa baringo Gideon Moi rungu iliyokuwa kitambulisho tosha cha mamlaka ya marehemu rais. alipofanya hivyo, mwanawe huyo wa marehemu ambaye sasa ndiye kiongozi wa familia alimshinikiza gideon awajibike na kudhibiti hadhi yao kisawasawa. Je kufikia sasa amejizatiti na kujikakamua vipi? Duncan khaemba amepekuwa pekuwa makavazi na kutupakuliwa ripoti ifuatayo.