×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanaume wa eneo la kitunda jijini dar es salaam, wanashiriki mapambano dhidi ya ukeketaji

4th February, 2021

Kuelekea siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji februari 6 mwaka huu, wanaume wa eneo la kitunda jijini dar es salaam, wanashiriki mapambano dhidi ya ukeketaji wa wasichana katika eneo hilo, ambalo watu wake bado wanawakeketa wasichana, kwa mujibu wa utafiti wa TDHS wa mwaka 2015/2016 ukeketaji jijini dar es salaam, ni asilimia 4 na ni kutokana na jamii zinazohamia jijini humo kuhama na mila zao.

 
.
RELATED VIDEOS