.
4th February, 2021
Kuelekea siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji februari 6 mwaka huu, wanaume wa eneo la kitunda jijini dar es salaam, wanashiriki mapambano dhidi ya ukeketaji wa wasichana katika eneo hilo, ambalo watu wake bado wanawakeketa wasichana, kwa mujibu wa utafiti wa TDHS wa mwaka 2015/2016 ukeketaji jijini dar es salaam, ni asilimia 4 na ni kutokana na jamii zinazohamia jijini humo kuhama na mila zao.