.
28th January, 2021
Huko meru mwanahabari Allan Ochanda anayo taarifa ya kusononeka kwa wakulima wa miraa kutokana na mgogoro wa kidiplomasia baina ya kenya na somalia, ambayo ndiyo nchi iliyo na soko la zao la miraa. wakuu wa vyama vya ushirika vya wakulima wa miraa sasa wanasema umewadia muda wa serikali kutafuta suluhu ya kudumu ili kuwakinga wakulima hao kama wakulima wengine nchini.