27th January, 2021
Wakulima na wafanyibiashara wa miraa seemu ya igembe kaunti ya meru wamefurahishwa na taarifa ya kuondolewa kwa marufuku ya uagizaji miraa hadi nchini somalia kutoka hapa kenya. tangazo hilo lilitolewa na waziri wa fedha wa somalia abdirahman dualleh baileh, ambaye aliekeza masharti kadhaa kufatwa kabla ya zao hilo liwasili nchini somalia, ikiwemo wafanyibiashara kupata leseni ya uagizaji kutoka kwa srikali ya somalia na kulipa ada zote.