×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wafanyibiashara wa miraa Meru wamefurahishwa na kuondolewa kwa marufuku ya uagizaji miraa Somalia

27th January, 2021

Wakulima na wafanyibiashara wa miraa seemu ya igembe kaunti ya meru wamefurahishwa na taarifa ya kuondolewa kwa marufuku ya uagizaji miraa hadi nchini somalia kutoka hapa kenya. tangazo hilo lilitolewa na waziri wa fedha wa somalia abdirahman dualleh baileh, ambaye aliekeza masharti kadhaa kufatwa kabla ya zao hilo liwasili nchini somalia, ikiwemo wafanyibiashara kupata leseni ya uagizaji kutoka kwa srikali ya somalia na kulipa ada zote.

.
RELATED VIDEOS