×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watengenezaji wa chanjo ya Johnson and Johnson wataka kibali ili chanjo itumiwe kupambana na Korona

27th January, 2021

Watengenezaji wa chanjo ya Johnson & Johnson sasa wanataka kibali ili chanjo hiyo itumiwe kwenye matumizi ya dharura na kupambana na virusi vya korona. Chanjo hiyo ambayo inatofautiana na chanjo zilizopewa kibali kama vile pfizer na biontech haitahitaji mwanadamu apate chanjo mara mbili. hatua hiyo inawadia wakati ambapo virusi vya korona vinazidi kurekodiwa humu nchini na kuyatia wasiwasi mataifa ya nje kutokana na aina mpya ya virusi hivi.

.
RELATED VIDEOS