.
27th January, 2021
Kinara wa ODM Raila Odinga ameanza safari ya kurai eneo la mlima kenya kuunga mchakato wa BBI siku moja baada ya tume ya IEBC kuidhinisha saini za mswada wa BBI kuelekezwa kwenye magatuzi. Odinga aliyeambatana na viongozi wa ODM na wale wa jubilee ameahidi kwamba kuna mazuri kwenye mswada huo wa kukarabati katiba. odinga alianza safari yake eneo la kati ya nchi akianza na mtaa wa Githurai.