×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali imeombwa kuingilia kati na kutatua umiliki wa makao ya watoto ya Good hope Mtito Andei

26th January, 2021

Serikali imeombwa kuingilia kati ili kutatua mzozo unaoukumba umiliki wa makao ya watoto ya Good Hope yaliyopo eneo la Mtito Andei. Kulingana na usimamizi uliopo, inadaiwa ya kwamba makao hayo yaliyojengwa na mfadhili kutoka ujerumani na yalikuwa yawasaidie watoto kutoka familia zisizojimudu na wale wa kurandaranda mitaani lakini sasa kwa sababu ya mvutano idadi kubwa ya watoto hao wanataabika na hata kukosa elimu.  

.
RELATED VIDEOS