Chama cha wazazi cha shauri usimamizi wa shule kuwa makini kwa kufuatilia mienendo ya wanafunzi
25th January, 2021
Chama cha wazazi nchini kimeshauri kwamba usimamizi wa shule za humu nchini uwe makini kwa kufuatilia mienendo ya wanafunzi ambao wameonekana kusababisha taharuki katika shule zao, kwa kuonyesha utovu wa nidhamu.