×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu 12,9 wakiwa Wakenya wajeruhiwa kufuatia mapigano ya vikosi vya kijeshi vya Somalia na Juba land

25th January, 2021

Watu kumi na wawili, tisa miongoni mwao wakiwa wakenya wamejeruhiwa na kulazwa katika hospitali ya rufaa ya Mandera kufuatia mapigano ya vikosi vya kijeshi kutoka taifa la somalia na jubaland.

Kenya sasa imeiandikia tume ya umoja wa Afrika ( AUC) kuelezea wasiwasi wake kuhusu hali hiyo kwani huenda ikazua janga la kibinadamu iwapo hatua hazitachukuliwa mapema.

Taifa la somalia limekuwa likishutumu kenya kwa madai ya kuliyumbisha kabla ya uchaguzi mkuu wa mwezi ujao lakini serikali ya kenya kupitia waziri wa usalama wa ndani Dr. Fred matiang’i imekanusha madai hayo na kushikilia kuwa kinachoshuhudiwa ni masuala ya ndani ya Somalia.

.
RELATED VIDEOS