×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta wa Baringo Gideon Moi awahakikishia wakaazi wa Mogotio kuwa miradi iliyosimama itaendelea

24th January, 2021

Seneta wa Baringo Gideon Moi amewahakikishia wakazi wa mogotio kaunti ya baringo kuwa miradi iliosimama ya ujenzi wa barabara itaedelea karibuni. Akizungumza katika kijiji cha mugurin sehemu ya mogotio kaunti ya Baringo, Moi alisema kuwa bajeti ya ujenzi wa barabara ya kamukunji kisana na kipkitur mugurin hadi ziwa Bogoria tayari imepitishwa. Alizungumza na wakazi baada ya kuhudhuria ibada katika kanisa la aic mugurin. Wakazi wa eneo hilo awali walimtaka gideon kuwasaidia kutamatisha miradi iliyoahidiwa na serikali zikiwemo barabara zilizokwama kwa zaidi ya miaka mitatu pamoja na tatizo la ukosefu wa maji.

.
RELATED VIDEOS