.
24th January, 2021
Baadhi ya wabunge kutoka kaskazini mwa bonde la ufa wameshtumu asasi za serikali zinazofungamanishwa na uchunguzi na upelelezi wakisema kwamba zinatumika kuwahujumu wandani wa naibu wa Rais William Ruto. Huku haya yakijiri kundi jingine linaloongozwa na gavana wa kaunti ya Elgeyo Marakwet Alex Tolgos wameweka mikakati kabambe ya kuwaandaa wakazi wa North Rift kwenye mchakato wa BBI.