.
24th January, 2021
Wakazi wa eneo la mukui eneo bunge la ndia kaunti ya Kirinyaga wamepigwa na butwaa na tukio la mama mzazi kudaiwa kumnyonga mwanawe usiku wa kuamkia jana. Mama huyo mwenye umri wa miaka 36 anadai alikuwa akifukuza mapepo wakati wa kisa hicho. Polisi wanamzuilia mama huyo katika kituo cha polisi cha sagana akitarajiwa mahakamani jumatatu.