23rd January, 2021
Msimu wa korona ulitua ghafla ulimwenguni na humu nchini ukionekana kama upepo unaopepeta moto wa visa vya aina yake.Dhulma za kijinsia zikijitokeza wazi msimu huu na kuongeza idadi ya ndoa zinazovunjika.mwanahabari Fridah Mwaka alifuatilia baadhi ya visa vilivyoibuka msimu huu katika mtaa wa mabanda wa kibera hapa jijini nairobi na kuandaa makala maalum ndimi za kike msimu wa korona