23rd January, 2021
Wiki kadhaa baada ya shule kufungulia bado wanafunzi waliokuwa kwenye shule za kibinafsi wanakazana kuhakikisha kuwa angalau wamepata nafasi kwenye shule za umma huku serikali ikitangaza kuwa tayari shule zimefurika tayari lakini katika kaunti ya nyeri kuna shule moja ya msingi kwa jina nyakinyua iliyotengenezwa miaka kadhaa Iliyopita iliyonuia kusaidia kupunguza nambari ya wanafunzi kwenye shule za eneo hili ingali kufungulia kwa kukosa cheti cha kuanzisha rasmi shule hiyo ya msingi