.
23rd January, 2021
Ni mazishi ya Brayden Mutwiri ambayo huzuni ilitanda, mvulana wa miaka minne ambaye mwili wake ulipatikana katika mto thuci wiki iliyopita leo akizikwa kaitika eneo la kanyuambora, mbeere kaskazini, kaunti ya embu. Mutwiri anasemekana kutoweka mwezi wa disemba mwaka jana ila alipatikana akiwa ameuwawa huku madai yakiwa alitumika kama kafara.