×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mazishi ya uchungu: Watu wanne kati ya watano waliouawa usiku wa januari tarehe tano wamezikwa

16th January, 2021

watu wanne kati ya watano waliouawa usiku wa januari tarehe tano wamezikwa. mazishi hayo yalifanyika chini ya ulinzi mkali wa polisi yakihudhuriwa na walioijua familia na wasioijua. wanne hao ambao ni baba, mkewe na wanawe wawili waliuawa kinyama na watu wasiojulikana

.
RELATED VIDEOS