.
15th January, 2021
gavana wa mandera ali roba amevitaka vyombo vya usalama kuwa makini zaidi kutokana na mashambulizi yanayodhaniwa kutekelezwa na wapiganaji wa al shabaab. roba amesema zaidi ya shule 20 hazijafunguliwa kutokana na hofu baada ya walimu kutoka nje ya maeneo hayo kuondolewa na tume ya huduma za walimu. roba amesema kuwa kundi hilo limetawala sehemu nyingi za kaunti ya wajir