15th January, 2021
gavana wa kaunti ya kakamega na mwenyekiti wa baraza la magavana wycliffee oparanya amesema tayari amewaajiri wauguzi 60 ambao watachukuwa mahala pa wauguzi waliogoma kaunti ya kakamega kuendelea kuwapa huduma wagonjwa. oparanya amesisitiza kuwa hana budi ila kuwaajiri wauguzi wengine watakaowashughulikia wakaazi wa kaunti ya kakamega kuliko kuwaacha kuumia bila huduma