.
27th December, 2020
Timu ya Mvita Young Stars ndio mabingwa wa kombe la Mvita Super Cup mwaka 2020 baada ya kuiadhibu Mombasa Helmets Fc mabao mawili kwa nunge katika fainali iliyochezwa shule ya msingi ya Mvita. Waandalizi wa michuano hiyo wameanzisha kituo cha michezo wakiamini kuwa mbali na washindi kupewa zawadi vijana watapata jukwaa la kukuza talanta zao kwa siku zijazo.