×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kituo cha Saratani kujengwa eneo la magharibi kutokana na ongezeko la wagonjwa

27th December, 2020

Mwenyekiti wa baraza la magavana na gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya amesema wamekubaliana na serikali kuu kujenga kituo cha kwanza cha saratani kuwahudumia wakaazi wa eneo la magharibi. Hatua hii ni kutokana na saratani kuwa miongoni mwa magonjwa yanayowaathiri wakaazi wa magharibi kwa wingi. Magavana wote wa kaunti zote za magharibi wangali wanajadiliana ni katika kaunti ipi kituo hicho kitajengwa na kuwa rahisi kwa wagonjwa kusafiri kutoka maeneo mbali mbali ya magharibi.

.
RELATED VIDEOS