.
27th December, 2020
Kina mama katika kaunti ya Lamu wamepaza kilio chao kutokana na ongezeko la matumizi ya mihadarati ambayo huishia kuyaharibu maisha ya watoto wao. Wakizungumza kwenye mkutano uliokusudia kuwaunganisha mamia ya vijana ambao wamekuwa katika kituo cha kuwashughulikia waraibu wa mihadarati cha kenya red cross, kina mama haowanahofia kukipoteza kizazi chao kupitia uraibu iwapo hatua muafaka hazitachukuliwa.