.
27th December, 2020
Siku tatu baada ya madaktari kusitisha mgomo wao, wahudumu wengine wa afya wakiwemo wauguzi na matabibu wamo kwenye siku ya 21 ya mgomo. Wauguzi wanadai serikali imekuwa ikipendelea madaktari lakini madaktari wanasema hawapendelewi na migomo huandaliwa kusaka matakwa tofauti. Mark namaswa na taarifa hiyo kwa kina.