23rd December, 2020
Chini ya wiki mbili kabla ya ufunguzi wa shule zote nchini, wizara ya elimu inasema mitihani ya kitaifa ya kcpe na kcse iko tayari. Waziri wa elimu George Magoha pia amesema shule zote zitafunguliwa licha ya changamoto si habakatika miundo msingi madarasani