12th December, 2020
Timu ya leeds imewabwaga mabingwa wa makala ya sita ya taji la wanyonyi super cup leverkusen kwa kuwalaza mabao manne kwa mawili kwenye matuta ikiwa nia fainali za makala ya saba zilizochezwa ugani cavs mtaani kabete. Leeds ilitoka sare ya bao moja kipindi cha kawaida na hivyo kulazimisha matuta. Upande wa kina dada kibagare imeilaza patriots magoli mawili kwa moja na kutwa taji la wanawake.