×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzozo wa Jaa la Taka: Viongozi katika eneo la Embakasi wakutana na vijana Kayole

18th November, 2020

Viongozi eneo la Embakasi ya kati wamefanya mkutano na vijana wa kuokota taka eneo la kayole ili kutatua mzozo uliokuwepo kuhusu ni wapi taka hiyo inafaa kutupwa. Hapo awali, mamlaka ya usimamizi wa jiji la nairobi NMS ilikuwa imewasimamisha vijana dhidi ya kazi hiyo ya kuokota taka jambo lililokuwa limeanza kuleta hali ya wasiwasi miongoni mwa vijana wengi wanaotegemea kazi hiyo kujikimu kimaisha.

.
RELATED VIDEOS