×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Siku ya wanaume: Kenya kuungana na mataifa mengine kuangazia maswala yanayowaathiri

18th November, 2020

Majukumu na matarajio katika jamii yamekuwa chanzo cha madhara kwa wengi haswa magonjwa ya kiakili miongoni mwa wanaume. Mara nyingi wengi hawapendi kuzungumza na hili limesababisha ongezeko la visa vya matatizo ya kiakili na wengine kujitia kitanzi miongoni mwa jinsia ya kiume. Kenya itakapojumuika na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya wanaume hapo kesho ni mengi tu ambayo taifa la Kenya lafaa kuangazia kuu likiwa suala la Afya kwa wanaume.

.
RELATED VIDEOS