×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Daraja la Kisirani: Wakaazi walalamikia kukwama kwa ujenzi wa daraja la Mto Mkuu, mtepeni Kilifi

18th November, 2020

Viongozi na wakazi wa eneo la Mtepeni kaunti ya Kilifi wanaitaka tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC kuchunguza kandarasi ya shilingi milioni 56 iliyotolewa kwa ujenzi wa daraja la Mto Mkuu, mto unaoaminika na wenyeji kuwa na mazingaombwe baada ya vifo vya zaidi ya watu kumi ndani ya kipindi cha miaka miwili iliyopita. Ila tangu mwezi Oktoba mwaka jana wakati ujenzi rasmi ulianza hakuna chochote kinachoendelea kwa sasa.

.
RELATED VIDEOS