.
18th November, 2020
Mtazamaji hautaweza kupata huduma za Serikali kuanzia Disemba mwaka ujao bila kadi ya huduma. Haya yametangazwa hii leo na serikali kupitia Waziri wa Usalama Fred Matiang’i na mwenzake wa mawasiliano Joe Mucheru waliozindua rasmi kusambazwa kwa kadi hizo kwa wakenya waliojiandikisha.