×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Walimu watishiwa na COVID: Walimu wanahofia maambukizi ya Korona, shule zote zitakapofunguliwa

18th November, 2020

Maambukizi ya korona miongoni mwa walimu na wanafunzi kwa sasa hayana hesabu kamili. Hata hivyo kufunguliwa kwa shule kikailifu mwaka 2021 kunaibua mdahalo kuhusu mambo yatatavokuwa. Kufikia sasa muungano wa knut unakisia kwamba angalau walimu 30 wamefariki kutokana na korona, nayo tume ya huduma ya walimu ikiahidi bima kwa walimu athirika.

.
RELATED VIDEOS