×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uchungu wa Familia: Mama awapoteza wanawe kwa Al-Shabaab, watoto wake walijiunga na kundi

11th November, 2020

Mama mmoja katika kaunti ya Mombasa anaendelea kusononeka baada ya wanawe wanne kati ya kumi na mmoja kuhusishwa na kundi la kigaidi la Al shabaab. Mmoja wa wanawe aliuawa, wapili yuko jela ya shimo la tewa, watatu ambaye ni wa kike akisemekana aliozwa kwa mwanamgambo wa Al shabaab nchini Somalia na ambaye alifariki huku wanne akiwa ametoweka nyumbani kwao mwezi jana na hadi wa leo hajulikani aliko.

 

.
RELATED VIDEOS