×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watoto na Covid-19: Baadhi ya watoto wanakumbana na dhulma nyumbani, EU yaanzisha mradi ya kuwaokoa

8th November, 2020

Wataalam wa masuala ya watoto wanaonya kwamba huenda watoto wakaathirika zaidi kutokana na makali ya janga la korona. Onyo hili linafuatia hali kwamba zaidi ya watoto milioni kumi wanaostahili kuwa shuleni watalazimika kuwa nyumbani kwa miezi mingine miwili zaidi kufuatia tishio la virusi vya korona. Hata hivyo muungano wa mataifa ya ulaya, EU, umetangaza ufadhili wa mradi maalum utakaoyahusisha mashirika mbalimbali kwa lengo la kuwaokoa watoto dhidi ya dhuluma na mateso mengine kwenye majira haya ya Covid?19.

.
RELATED VIDEOS