×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ukuzaji Vipaji: Timu kutoka Murang'a na Kiambu kunufaika, zaidi ya vilabu 140 wapokea sare

8th November, 2020

Zaidi ya timu 140 kutoka kaunti ya Muranga na Kiambu hii leo zilipigwa jeki baada ya kupokea vifaa vya kucheza kutoka kwa kampuni ya odibets ikishirikiana na shirikisho la kandanda nchini fkf. Timu hizo ambazo pia zinashiriki ligi ya kaunti zilipokea sare za kucheza kwa maandalizi ya msimu mpya.

 

.
RELATED VIDEOS