×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

KANU yaimarisha mikakati Nairobi, yazindua afisi mpya Embakasi

8th November, 2020

Katibu wa kina mama wanachama wa KANU tawi la Nairobi Betty Adera amesema chama hicho kimeimarisha mikakati ya kukifufua na sasa kiko imara na kitakuwa na wagombeaji viti katika maeneo yote kaunti ya nairobi kwenye uchaguzi mkuu ujao.  Adera alikuwa akizungumuza eneo la Embakasi hapa nairobi wakati wa uzinduzi wa afisi mpya ya chama hicho katika maeneo hayo.

.
RELATED VIDEOS