.
2nd November, 2020
Hussein mwinyi wa CCM ambaye ni waziri wa zamani wa ulinzi wa Tanzania leo ameapishwa kuwa rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Tanzania huku jeshi la Tanzania likifanikiwa kuzima maandamano ya wafuasi wa vyama vya chadema na act?wazalendo wanaopinga uchaguzi wa oktoba 28 uliompa ushindi Dr. John Pombe Magufuli wa CCM. Maandamano hayo yaliyopangwa kuanza leo jumatatu yamezimwa baada ya jeshi hilo kuwakamata baadhi ya waratibu wa maandamano hayo ambao ni viongozi wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama Freman Mbowe, Godbless Lema na aliyekuwa meya wa manispaa ya ubungo Boniface