.
2nd November, 2020
Wafanyabiashara katika eneo la biashara la Ngara wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya moto kuteketeza biashara zao usiku wa kuamkia leo. Waathiriwa wengi wamekuwa wakitegemea biashara hizo kukimu familia zao na sasa wameachwa bila riziki.