×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwili wa msichana wapatikana kisimani, familia yazungukwa na utata wa kifo | Kifo Kisimani

1st November, 2020

Utata unazidi kuzingira kifo cha msichana wa umri wa miaka kumi na sita aliyepatikana ndani ya kisima kimoja eneo la kihuho, kaunti ya kiambu kilomita takriban nne kutoka nyumbani kwao. Mercy Wanjiru Mwangi anadaiwa kupotea tarehe kumi na tisa mwezi jana kabla ya kupatikana siku tatu baadaye. Licha ya ripoti ya polisi kusema kuwa binti huyo alijitia kitanzi familia inataka uchunguzi zaidi kubaini kiini cha kifo hicho

.
RELATED VIDEOS