31st October, 2020
Ingawa hospitali ni sehemu ambayo watu huenda kutafuta matibabu, kwa wengi sehemu hugeuka na kuwa nyumbani na mahali salama ambapo wahahisi upweke. katika hospitali ya kenyatta kuna wagonjwa zaidi ya kumi na nane ambao wametelekezwa na wapendwa wao na hospitali hio sasa imegeuka kuwa makao yao