30th October, 2020
Mwanamke wa umri wa miaka 35 kwa jina florence muia Anafuraha isiyo na kipimo kwa kupata mwaliko wa kujiunga Na chuo kikuu cha kilimo na teknolojia cha kenyatta baada Ya masomo yake kukatizwa kwa muda wa miaka ishirini Alipoingia kwenye ndoa ya mapema. Mwanahabari wetu lofty Matambo anaangazia safari ya florence, safari ya matumaini Na msukumo wa kutagka kuwa daktari