.
30th October, 2020
Wandani wa rais uhuru kenyatta na kinara wa odm Raila Odinga wanasema kwamba mswada wa marekibisho ya katiba Utawasilishwa kwa wakenya kwa kura ya maamuzi jinsi Ulivyo ..na kuongeza kwamba huenda shughuli hiyo ikamilike Kufikia mwezi machi au aprili mwaka ujao.Katika mahojiano tofauti, naibu mwenyekiti wa jubileee david Murathe na katibu mkuu wa odm ediwn sifuna wanasemaKwamba shinikizo la baadhi ya viongozi wanaotaka Mazungumzo zaidi kuhusu bbi ni njama ya kusambaratisha Kura ya maamuzi na kamwe haitafaulu.