.
30th October, 2020
Je Rais Uhuru Kenyatta ana nguvu za mpango wa kando? Binti Mmoja alimpa habari hizo moja kwa moja katika uzinduzi wa Ripoti ya bbi katika ukumbi wa bomas. Katibu mkuu wa cotu Francis atwoli aonyesha hamu kubwa ya kupitisha bbi huku Rais uhuru akimpasha naibu wake william ruto kuhusu siasa Za 2022