.
26th October, 2020
Kwenye sehemu ya pili ya Mirathi ya Siasa ya kuwaangazia baadhi ya viongozi wa jamii ndogo nchini ambao wamekuwa uongozini na changamoto tofauti, Paul Nabiswa anatupa picha ya miongoni mwao ambaye ni Richard Leakey aliyewahi kuwa mkuu wa utumishi wa umma na pia katibu wa baraza la mawaziri wakati wa Rais Mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi