.
21st October, 2020
Wito umetolewa kwa wana Skauti nchini kujitolea zaidi katika shughuli za ujenzi wa taifa. Wakizungumza baada ya sherehe huko Kajiado, viongozi wa Skauti nchini wamedai kuwa wanachama wake ni kielelezo chema cha uigwa katika uimarikaji maadili. Aidha waliwataka vijana zaidi kujiunga na vyama vya maskauti ili kuiimarisha maadili yao wakiwa wadogo.