×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wahudumu waambukizwa: KMPDU yataka wapewe vifaa vya kazi, watishia kugoma iwapo hawatapewa

21st October, 2020

Wahudumu wa afya mia mbili kumi na saba wameambukizwa virusi vya korona katika mwezi huu wa Oktoba. Katibu mkuu wa muungano wa madaktari nchini daktari Chibanzi mwachonda amesema kuwa ongezeko la maambukizi kwa wahudumu wa afya ni kutokana na maapuza ya serikali. Sasa wametoa ilani kwa wizara ya afya iwapo hawatatimiza matakwa yao kama vile kuongeza idadi ya madaktari watachukua mkondo wa mgomo.

.
RELATED VIDEOS