21st October, 2020
Wahudumu wa afya mia mbili kumi na saba wameambukizwa virusi vya korona katika mwezi huu wa Oktoba. Katibu mkuu wa muungano wa madaktari nchini daktari Chibanzi mwachonda amesema kuwa ongezeko la maambukizi kwa wahudumu wa afya ni kutokana na maapuza ya serikali. Sasa wametoa ilani kwa wizara ya afya iwapo hawatatimiza matakwa yao kama vile kuongeza idadi ya madaktari watachukua mkondo wa mgomo.