×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gredi 4 na darasa la 8 kuuanza mjarabu wa KNEC ya kutathmini utayari wa watoto kesho

20th October, 2020

Wanafunzi wa gredi ya nne na darasa la nane, wataanza mitihani yao hapo kesho  ili kubaini uthabiti wa kumbukumbu zao baada ya kuwa nyumbani kwa miezi sita. Baraza la mitihani nchini, knec, limeitaja mitihani hiyo kuwa mijarabu ya kupima na kubaini utayari wa wanafunzi kuendelea na masomo baada ya kuwa nyumbani kwa kipindi kirefu. Ila anavyoripoti Shadrack Mitty, shule nyingi zinakabiliwa na chanagamoto za kupata karatasi za mitihani kutoka wavuti wa KNEC.

 

.
RELATED VIDEOS