.
20th October, 2020
Mkufunzi wa timu ya taifa ya soka Harambee Stars Francis Kimanzi ameacha kibarua chake na timu hiyo. Shirikisho la kandanda nchini (FKF ) limethibitisha uamuzi huo baada ya makubaliano ya pande zote husika. Kimanzi ameacha kazi pamoja na naibu wake Zedekiah Otieno na mkufunzi wa makipa Lawrence Webo.